Psalms 9:1
Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Muth-Labeni. ▼▼ Muth-Labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki. Zaburi Ya Daudi)
1 ▼
▼ Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
cEe Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.
Copyright information for
SwhKC