Psalms 9:1

Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake

(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Muth-Labeni.
Muth-Labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.
Zaburi Ya Daudi)


1
Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
cEe Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,
nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.
Copyright information for SwhKC